Close sites icon close
Search form

Search for the country site.

Country profile

Country website

Kamishna Mkuu Msaidizi wa ulinzi na uhifadhi wa UNHCR atoa wito kuongeza kasi katika kupata suluhisho la kudumu kwa wakimbizi nchini Tanzania

News releases

Kamishna Mkuu Msaidizi wa ulinzi na uhifadhi wa UNHCR atoa wito kuongeza kasi katika kupata suluhisho la kudumu kwa wakimbizi nchini Tanzania

12 September 2025

Kamishna Mkuu Msaidizi wa Ulinzi na Uhifadhi wa UNHCR, Bi. Ruvendrini Menikdiwela, amehitimisha ziara ya siku tano nchini Tanzania yenye lengo la kuendeleza ushirikiano na serikali, pamoja na ushirikishwaji wa jamii ya wakimbizi katika kutafuta suluhisho la kudumu kwa wakimbizi waishio nchini Tanzania, hususani wakimbizi kutoka Burundi kwa kuendelea kuwahamashisha kurejea nchini kwao kwa hiari.